sw_tn/psa/013/005.md

295 B

Nimetumaini katika uaminifu wako wa agano

Kwa kuzungumzia uaminifu wa Yahwe wa agano, Daudi anatumaini kuwa Yahwe atampenda daima. "Nina imani kuwa utanipenda kwa uaminifu"

moyo wangu unafuahi ndani ya wokovu wako

Hapa "moyo wangu" unaashiria mtu mzima. "Nitafurahi kwa sababu umeniokoa"