forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
474 B
Markdown
12 lines
474 B
Markdown
# Maana misingi imeharibika, mwenye haki atafanya nini?
|
|
|
|
Hapa "misingi" inaweza kumaanisha sheria na utaratibu. Swali hili la balagha linaulizwa kuongeza msisitizo. Linaweza kutafsiririwa kama kauli. "Watu wenye haki hawawezi kufanya lolote pale watu waovu wasipoadhibiwa wanapokeuka sheria!"
|
|
|
|
# Macho yake yanatazama, macho yake yanachunguza watoto wa binadamu
|
|
|
|
Yahwe anajua kila kitu kinachotokea. "Anachunguza yote wanayofanya wanadamu"
|
|
|
|
# watoto wa binadamu
|
|
|
|
"wanadamu"
|