forked from WA-Catalog/sw_tn
666 B
666 B
Asema
Anayesema ni mtu mwovu na watu waovu kwa ujumla.
Mungu amesahau
Kukataa kuzingatia kile ambacho watu wanafanya inazungumziwa kama kusahau. "Mungu hazingati" au "Mungu hajali kuhusu kile nachofanya"
anafunika uso wake
Kukataa kuzingatia kitu ambacho mtu anafanya kama kufunika uso wa mtu. "Mungu anakataa kuona kinachotokea"
hatahangaika kutazama
Kuzingatia kile ambacho mtu anafanya inazungumziwa kama kukiangalia. "hatahangaika kuzingatia" au "hatajali"
Inuka
Kuanza kufanya kitu inazungumziwa kama kuinuka. "Fanya kitu"
Inua mkono wako
Hapa kuinua mkono kumpiga mtu inaashiria kumwadhibu. "kumpiga kwa nguvu" au "kumwadhibu mtu mwovu"