sw_tn/psa/010/011.md

666 B

Asema

Anayesema ni mtu mwovu na watu waovu kwa ujumla.

Mungu amesahau

Kukataa kuzingatia kile ambacho watu wanafanya inazungumziwa kama kusahau. "Mungu hazingati" au "Mungu hajali kuhusu kile nachofanya"

anafunika uso wake

Kukataa kuzingatia kitu ambacho mtu anafanya kama kufunika uso wa mtu. "Mungu anakataa kuona kinachotokea"

hatahangaika kutazama

Kuzingatia kile ambacho mtu anafanya inazungumziwa kama kukiangalia. "hatahangaika kuzingatia" au "hatajali"

Inuka

Kuanza kufanya kitu inazungumziwa kama kuinuka. "Fanya kitu"

Inua mkono wako

Hapa kuinua mkono kumpiga mtu inaashiria kumwadhibu. "kumpiga kwa nguvu" au "kumwadhibu mtu mwovu"