sw_tn/psa/009/009.md

393 B

Yahwe pia atakuwa ngome kwa wanaokandamizwa

Mungu anazungumziwa kana kwamba alikuwa ni sehemu ambapo watu wanaweza kwenda kwa ajili ya usalama. "Yahwe pia atawalinda wanaokandamizwa" au "Yahwe atawapa usalama wale wanaokandamizwa"

ngome

"pa kukimbila" au "kivuli"

Wale wanaolijua jina lako

Hapa maneno "jina lako" yanamaanisha Mungu. "Wale wanaokujua"

usiwatelekeze

"usiwaache"