sw_tn/psa/007/014.md

651 B

yule ambaye yuko mimba na uovu ... anajifungua mipango haribifu ... anazaa uongo wenye madhara

Daudi anazungumzia vitu ambavyo mtu mwovu anafanya kama mtu mwenye mimba na uovu ndiye mtoto. "mtu mwovu. Anafanya mipango ya kuangamiza watu kusabisha uongo wenye

Mipango yake ya uharibifu yanarudia kichwa chake mwenyewe, kwa kuwa vurugu zake zinashuka chini ya kichwa chake

Uharibifu na vurugu zinazungumziwa kana kwamba zinagonga kichwa cha mtu au kumdondokea. "Mipango yake ya uharibifu inamuangamiza, kwa kuwa vurugu yake inamshambulia" au "Anapopanga kuangamiza wengine, wengine wanamuangamiza; anaposhambulia wengine, wengine wanamshambulia"