sw_tn/psa/007/008.md

12 lines
275 B
Markdown

# nithibitishe
"waoneshe kuwa sina hatia"
# imarisha watu wenye haki
"wafanye watu wenye haki kuwa imara" au "wafanye watu wenye haki wafanikiwe"
# wewe unayechunguza mioyo na akili
Mioyo na akili zinaashiria tamaa na mawazo ya watu. "wewe unayejua mawazo yao ya ndani"