sw_tn/psa/007/008.md

275 B

nithibitishe

"waoneshe kuwa sina hatia"

imarisha watu wenye haki

"wafanye watu wenye haki kuwa imara" au "wafanye watu wenye haki wafanikiwe"

wewe unayechunguza mioyo na akili

Mioyo na akili zinaashiria tamaa na mawazo ya watu. "wewe unayejua mawazo yao ya ndani"