sw_tn/psa/006/003.md

765 B

imetaabika sana

"ogopa" au "wasiwasi"

hii itaendelea hadi lini?

Daudi anatumia swali hili kuonesha kuwa hataki kuendelea kujisikia mdhaifu na mwenye taabu. "tafadhali, usiruhusu hii iendelee!"

Rudi, Yahwe

Daudi anazungumzia Mungu kumtendea wema kama Mungu kurudi kwake. "Yahwe, rudi kwangu" au "Nione huruma, Yahwe"

Kwa kuwa katika kifo hakuna kumbukuku lako. Nani atakupa shukrani kuzimu?

Sentensi hizi mbili zina maana ya kufanana.

Kwa kuwa katika kifo hakuna kumbukuku lako.

Kumbukumbu inaashiria sifa. "Kwa kuwa watu wanapokufa, hawakusifu tena"

Nani atakupa shukrani kuzimu?

Daudi anatumia swali hili kusisitiza kuwa hakuna mtu anayetoa shukrani kwa Mungu toka kuzimu. "Hakuna mtu kuzimu atayekupa shukrani!" au "Wafu hawawezi kukusifu"