sw_tn/psa/004/004.md

519 B

Mtetemeke kwa hofu

Uhusiano kati ya "kutetemeka" na "hofu" na ni nani watu wanapaswa kumhofu unaweza kuelezwa vizuri. "Mche Yahwe sana hadi utetemeke" au "Simama kwa kumshangaa Yahwe"

Mtetemeke

"Mtikisike"

Tafakari moyoni mwako

Moyo unaashiria mawazo ya mtu. Kuwaza kwa umakini inazungumziwa kama kutafakari ndani ya moyo wa mtu. "Waza kwa umakini:

Toa sadaka za haki

"Toa sadaka zilizo sawa"

weka imani yako kwa Yahwe

Imani inazungumziwa kama vile ni kitu kinachoweza kuweka sehemu. "muamini Yahwe"