forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
519 B
Markdown
20 lines
519 B
Markdown
|
# Mtetemeke kwa hofu
|
||
|
|
||
|
Uhusiano kati ya "kutetemeka" na "hofu" na ni nani watu wanapaswa kumhofu unaweza kuelezwa vizuri. "Mche Yahwe sana hadi utetemeke" au "Simama kwa kumshangaa Yahwe"
|
||
|
|
||
|
# Mtetemeke
|
||
|
|
||
|
"Mtikisike"
|
||
|
|
||
|
# Tafakari moyoni mwako
|
||
|
|
||
|
Moyo unaashiria mawazo ya mtu. Kuwaza kwa umakini inazungumziwa kama kutafakari ndani ya moyo wa mtu. "Waza kwa umakini:
|
||
|
|
||
|
# Toa sadaka za haki
|
||
|
|
||
|
"Toa sadaka zilizo sawa"
|
||
|
|
||
|
# weka imani yako kwa Yahwe
|
||
|
|
||
|
Imani inazungumziwa kama vile ni kitu kinachoweza kuweka sehemu. "muamini Yahwe"
|