sw_tn/psa/004/002.md

872 B

Taarifa ya Jumla:

Daudi anaimba sehemu hii ya wimbo kana kwamba anazungumza na adui zake.

Nyie watu, mtageuza heshima yangu kuwa aibu hadi lini?

Daudi anatumia swali hili kuwakemea adui zake. "Nyie watu mnaendela kugeuza heshima yangu kuwa aibu!"

mtageuza heshima yangu kuwa aibu

Kumwaibisha badala ya kumheshimu inazungumziwa kama kuifanya heshima yake kuwa aibu. "kuniaibisha badala ya kuniheshimu" au "kuniletea aibu badala ya kuniletea heshima"

Hadi lini mtapenda kile kisicho na dhamani na kutafuta uongo?

Daudi anatumia swali hli kuwakemea adui zake. "Mnaendela kupenda vitu visivyo na dhamani na kutafuta uongo."

mtapenda kile kisicho na dhamani ... kutafuta uongo

Misemo hii miwili inamaana ya kufanana. Uongo hauna dhamani. "mtapenda uongo usio na dhamani"

Yahwe anawatenga watauwa kwa ajili yake

"Yahwe anawachagua watauwa kwa ajili yake"