sw_tn/psa/001/004.md

693 B

Waovu hawako hivyo

Jinsi wasivyo hivyo inaweza kuwekwa wazi. "Waovu hawana mafanikio" au "Waovu hawafanikiwi"

lakini ni kama makapi

Jinsi walivyo kama nyasi inaweza kuwekwa wazi. "lakini hawana faida kama makapi"

hawatasimama katika hukumu

Kupona wakati Mungu anahukumu inazungumziwa kama "kusimama." "hawatapona wakati Mungu anawahukumu" au "watalaaniwa Mungu atakapo wahukumu"

wala watenda dhambi katika kusanyiko

"wala watenda dhambi kusimama katika kusanyiko"

wala watenda dhambi katika kusanyiko la wenye haki

Kukubaliwa na Mungu kama mwenye haki inazungumziwa kama kusimama na kundi la watu wenye haki. "na Mungu hatawakubali watenda dhambi pamoja na watu wenye haki"