forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
693 B
Markdown
20 lines
693 B
Markdown
|
# Waovu hawako hivyo
|
||
|
|
||
|
Jinsi wasivyo hivyo inaweza kuwekwa wazi. "Waovu hawana mafanikio" au "Waovu hawafanikiwi"
|
||
|
|
||
|
# lakini ni kama makapi
|
||
|
|
||
|
Jinsi walivyo kama nyasi inaweza kuwekwa wazi. "lakini hawana faida kama makapi"
|
||
|
|
||
|
# hawatasimama katika hukumu
|
||
|
|
||
|
Kupona wakati Mungu anahukumu inazungumziwa kama "kusimama." "hawatapona wakati Mungu anawahukumu" au "watalaaniwa Mungu atakapo wahukumu"
|
||
|
|
||
|
# wala watenda dhambi katika kusanyiko
|
||
|
|
||
|
"wala watenda dhambi kusimama katika kusanyiko"
|
||
|
|
||
|
# wala watenda dhambi katika kusanyiko la wenye haki
|
||
|
|
||
|
Kukubaliwa na Mungu kama mwenye haki inazungumziwa kama kusimama na kundi la watu wenye haki. "na Mungu hatawakubali watenda dhambi pamoja na watu wenye haki"
|