sw_tn/pro/31/06.md

212 B

na mvinyo

" na mpe mvinyo"

katika uchungu wa dhiki

"ambao nafsi zao zinauchungu" au "ambao wapo katika mateso"

umaskini wake

"jinsi alivyo maskini"

taabu yake

"mambo mabaya ambayo yanatokea kwake"