sw_tn/pro/30/21.md

443 B

chini ya vitu vitatu dunia hutetemeka, na chini ya vinne haiwezi kuvivumilia

"kuna baadhi ya vitu huifanya dunia kutetemeka, ambavyo haiwezi kuvivumilia, vinne katika hivyo ni:"

mpumbavu anaposhiba chakula

"Mpumbavu mwenye chakula cha kutosha"

mwanamke aliyechukiwa anapoolewa

"mwanamke ambaye watu wanamchukia anapoolewa" au "mwanamke aliyetengwa anapoolewa"

anapochukua nafasi ya bibi yake

anapotawala nyumba(kaya au familia)