sw_tn/pro/29/01.md

207 B

shupaza shingo yake

"kataa maonyo "

atavunjika katika muda mfupi

"Mungu atamvunja ghafla"

pasipo kupona

"na hakuna mtu ataweza kumsaidia"

watu hushusha pumzi

"watu watakuwa na hofu na huzuni"