sw_tn/pro/28/19.md

431 B

hufanya kazi kwenye ardhi yake

maana yake kulima , kupanda na kutunza mazao

yeyote

mtu yeyote

afuataye mambo yasiyofaa

mtu anayeshughulika na mambo ambayo hayazalishi chochote.

atapata umaskini mwingi

"atakuwa maskini sana"

yeye apataye utajiri kwa haraka hatakosa adhabu

"Mungu atamwadhibu yule ambaye hupata utajiri kwa haraka"

yeye apataye utajiri kwa haraka

"yeye anayejaribu kupata utajira kwa haraka"