sw_tn/pro/28/15.md

584 B

Kama simba aungurumaye au dubu mwenye hasira ndivyo alivyo mtawala mwovu juu ya watu maskini

watu maskini ambao hawana msaidizi dhidi ya mtawala mwovu ni kama watu ambao simba anawaungurumia na dubu anawashambulia

dubu mweye hasira

dubu ni mnyama mkubwa mwenye manyoya mengi na ni hatari sana, ana makucha na meno makali

mtawala aliyepungukiwa ufahamu

"mtawala ambaye hana ufahamu"

mnyonyaji

mtu ambaye huwatendea watu kwa ukatili na kuyafanya maisha yao kuwa magumu

yeye achukiaye udhalimu

"yeye achukiaye kuwa dhalimu"

huongeza siku zake

huishi maisha marefu