forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
584 B
Markdown
24 lines
584 B
Markdown
|
# Kama simba aungurumaye au dubu mwenye hasira ndivyo alivyo mtawala mwovu juu ya watu maskini
|
||
|
|
||
|
watu maskini ambao hawana msaidizi dhidi ya mtawala mwovu ni kama watu ambao simba anawaungurumia na dubu anawashambulia
|
||
|
|
||
|
# dubu mweye hasira
|
||
|
|
||
|
dubu ni mnyama mkubwa mwenye manyoya mengi na ni hatari sana, ana makucha na meno makali
|
||
|
|
||
|
# mtawala aliyepungukiwa ufahamu
|
||
|
|
||
|
"mtawala ambaye hana ufahamu"
|
||
|
|
||
|
# mnyonyaji
|
||
|
|
||
|
mtu ambaye huwatendea watu kwa ukatili na kuyafanya maisha yao kuwa magumu
|
||
|
|
||
|
# yeye achukiaye udhalimu
|
||
|
|
||
|
"yeye achukiaye kuwa dhalimu"
|
||
|
|
||
|
# huongeza siku zake
|
||
|
|
||
|
huishi maisha marefu
|