sw_tn/pro/27/15.md

527 B

mgomvi

maana yake kuwafanya watu wachukiane kula mmoja au kusababisha mabishano makubwa kati ya watu.

kutona tona daima

"kutona tona kwa mvua daima"

siku ya mvua

siku yenye mvua mfululizo"

kumzuia ni kama kuuzuia upepo, au kujaribu kuyashika mafuta katika mkono wako wa kulia

ni vigumu au haina maana kujribu kumzuia ni kama kujaribu kuuzuia upepo au kushika mfuta katika mkono wako

kumzuia

"kumweka chini ya utawala" au "kumzuia katika ugomvi"

kuuzuia upepo

"kuushikilia upepo" au "au kuudhibiti upepo"