forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
713 B
Markdown
28 lines
713 B
Markdown
# huficha hisia zake kwa midomo yake
|
|
|
|
"huficha hisia zake kwa namna anavyoongea" au " huongea kwa jinsi ambayo watu hawawezi kufahamu hisia zake za kweli"
|
|
|
|
# huweka uongo ndani yake mwenyewe
|
|
|
|
"kwa hila hupanga kuumiza watu"
|
|
|
|
# lakini hamwamini
|
|
|
|
"lakini haamini kile anachosema"
|
|
|
|
# maana kuna machukizo saba katika moyo wake
|
|
|
|
"moyo wake umejaa mambo ya chuki" au "maana moyo wake umejaa chuki"
|
|
|
|
# Ingawa chuki yake imefichwa kwa uongo
|
|
|
|
"ingawa uongo wake umefunikwa kwa chuki" au "Ingawa hufunika chuki yake kwa uongo"
|
|
|
|
# Ingawa chuki yake imefichwa kwa uongo
|
|
|
|
"Ingawa hudanganya kuhifadhi chuki yake ili watu wasijue" au "Ingawa hudanganya ili watu wasijue ya kuwa anawachukia"
|
|
|
|
# kusanyiko
|
|
|
|
"jamii ya waisraeli"
|