sw_tn/pro/26/22.md

638 B

maneno ya umbeya ni kama chembe tamu

"maneno ya umbeya hutamanisha kusikiliza"

hushuka chini katika sehemu za ndani ya mwili

"na huingia katika akili ya mtu na kuyaathiri mawazo yake"

kama rangi ya kioo iliyofunikwa kwenye chombo cha udogo ndivyo vilivyo midomo iwashayo na moyo wa uovu

"Watu wenye midomo ya kuwasha na mioyo ya uovu wapo kamachombo cha udongo kilichofunikwa kwa rangi ya kung'aa"

rangi ya kioo iliyofunikwa kwenye chombo cha udogo

"kioo chenye kungara ambacho hufunika chungu cha udongo"

midomo iwashaya

"kauli yenye hisia" au "kusema vitu vizuri"

moyo wa uovu

"mawazo mabaya" au "tamaa mbaya"