forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
455 B
Markdown
12 lines
455 B
Markdown
# Kama mtu ashikaye masikio ya mbwa, ndivyo alivyo mpitaji ambaye hupata hasira kwenye ugomvi ambao si wake
|
|
|
|
"mpitaji ambaye hupata hasira kwenye ugomvi wa watu wengine ni kama mtu ambaye hushikilia masikio ya mbwa"
|
|
|
|
# Kama mtu ashikaye masikio ya mbwa
|
|
|
|
"kama mtu ayemkasirikia mbwa na kumshika masikia yake"
|
|
|
|
# mpitaji ambaye hupata hasira kwenye ugomvi ambao si wake
|
|
|
|
mpitaji ataanza kubishana na watu waliokuwa wakipigana atawakasirisha na watamuumiza
|