forked from WA-Catalog/sw_tn
317 B
317 B
kama mbwa kuyarudia matapishi yake
"kama mbwa anavyokula matapishi yake"
Je unamwona mtu ambaye ni mwenye hekima machoni pake mwenyewe?
" mfikirie mtu ambaye hudhani kwambani mwenye busara lakini hana"
Kuna tumaini zaidi kwa kwa mpumbavu kuliko kwake
"mpumbavu anaweza kuwa na busara zaidi kuliko yeye "