sw_tn/pro/25/07.md

444 B

ni bora yeye akuambie, "Njoo huku juu"

maana yake kupelekwa sehemu ya meza ambayo ni karibu na mfalme. "ni bora mtu akukaribishe kukaa karibu na mfalme"

mbele ya mkuu

"mbele ya mtu mkuu"

Maana utafany nini mwishoni wakati jirani yako atakapokuaibisha?

" Maana hutajua ufanye nini mwisho wakati jirani yako atakapukuaibisha" au "Maana kama jirani yako anamaelezo, atakuaibisha, na hutakuwa na kitu cha kusema ili kujitetea mwenyewe."