sw_tn/pro/25/01.md

502 B

kuficha jambo

"kuyahifadhi baadhi ya mambo ya siri"

lakini utukufu

"lakini ni utukufu"

kuchunguza

"hulichunguza jambo" au "hufanya uchunguzi kwa mambo ambayo Mungu ameyaficha"

Kama mbingu ni kwa ajili ya kimo na dunia ni kwa ajili ya kina, ndivyo moyo wa wafalme usivyochunguzika

"Hakuna mtu wenye kuweza kupima kimo cha mbingu au kina cha dunia, hata hakuna mtu anawezakuufahamu moyo wa wafalme"

mbingu

Hii ni jula ya vitu vyote tunavyoviona angani pamoja na jua, mwezi, na nyota.