forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
464 B
Markdown
20 lines
464 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
Mistari hii ni mwendelezo wa "misemo thelathini"(22:20)
|
|
|
|
# kwa hekima nyumba hujengwa
|
|
|
|
"watu wanahitaji kuwa busara kama wanajenga nyumba nzuri"
|
|
|
|
# kwa ufahamu huimarishwa
|
|
|
|
"watu wanahitaji kufahamu wema na ubaya kama wanataka kuimarisha nyumba"
|
|
|
|
# kuimarisha
|
|
|
|
"nyumba" inawakilisha familia... familia ambayo huishi kwa amani
|
|
|
|
# Kwa maarifa vyumba hujazwa
|
|
|
|
"watu wanahitaji kufahamu vitu vya thamani na vizuri kama wanataka kujaza vyumba vyao"
|