sw_tn/pro/23/31.md

438 B

Maelezo ya Jumla

Mistari hii ni mwendelezo wa "misemo thelathini"(22:20)

Mwishoni

"baada ya kunywa"

huuma kama nyoka ...choma kama kifutu

" hukufanya ujisikie vibaya kama umeumwa nyoka au kama kifutu amekuchoma"

kifutu

aina ya nyoka mwenye sumu

moyo wako utasema vitu vya kupotosha

"utafikiri na kuamua vitu vya kupotosha"

vitu vya kupotosha

vitu ambayo Mungu amevitaja kuwa vibaya na viovu ; vitu ambavyo havifai