forked from WA-Catalog/sw_tn
44 lines
1.1 KiB
Markdown
44 lines
1.1 KiB
Markdown
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
Mistari hii ni mwendelezo wa "misemo thelathini"(22:20)
|
|
|
|
# nipe moyo wako
|
|
|
|
"nisikmalaya ilize kwa makini" au "nitumaini kabisa"
|
|
|
|
# macho yako yatazame
|
|
|
|
" zingatia sana"
|
|
|
|
# malaya...mwanamke mwasherati
|
|
|
|
Kuna aina mbili za wanawake washerati. "malaya" ni mwanamke ambaye hajaolewa, au "mke wa mume mwingine aliyeolewa. kwa pamoja wanaunda namna ya mwanamke mwasherati.
|
|
|
|
# malaya ni shimo refu
|
|
|
|
"kulala na malaya ni kama kudumbukia kwenye shimo refu "
|
|
|
|
# malaya
|
|
|
|
Huyu ni mwanamke ambaye hajaolewa anayefanya mambo ya ngono, wala si wale tu ambao hufanya ngono kwa ajili ya pesa.
|
|
|
|
# shimo refu...kisima chembamba
|
|
|
|
Sehemu hizi mbili ni rahisi kutumbukia na vigumu kutoka "shimo" kwa sababu ni "refu" na "kisima" kwa kuwa ni "chembamba"
|
|
|
|
# mwanamke mwasherati ni kisima chembamba
|
|
|
|
"kulala na mke wa mume mwingine ni kama kuangukia ktika kisima chembamba"
|
|
|
|
# kisima
|
|
|
|
shimo katika ardhi ambalo watu huchimba kwa ajili ya kupata maji
|
|
|
|
# huvizia
|
|
|
|
kukaa kwa kujificha na kuwa tayari kushambulia mhanga napofika
|
|
|
|
# mdanganyifu
|
|
|
|
"watu wadanganyifu" au "wale ambao huwadhuru wengine kwa kwa kuwadanganya"
|