sw_tn/pro/21/30.md

547 B

hakuna hekima, hakuna ufahamu, na hakuna ushauri ambao

"Yahwe ni mkuu kuliko kuliko kitu chochote ambacho mtu anakifahamu, anakifikiri au anachosema. "hakuna mwenye busara, ufahamu wa kitu chochote, au mwenye kuwaagiza wengine kufanya jambo furani"

kusimama dhidi ya Yahwe

"kumshinda yahwe" au " kufanya kazi dhidi ya mapenzi ya Yahwe" au " kuonesha kwamba anahaki na Yahwe amekosea"

farasi hutayarishwa kwa ajili ya siku ya mapigano

"wanajeshi huandaa farasi kwa ajili ya siku ya mapigano"

siku ya mapigano

"wakati kuna mapigano"