sw_tn/pro/21/03.md

28 lines
605 B
Markdown

# kutenda haki
"kufanya kila ambacho Yahwe anafikiri kuwa ni haki"
# kutenda ...haki
"kuwatendea watu namna Yahwe anavyotaka watu kuwatendea watu wengine"
# haki inakubalika zaidi mbele ya Yahwe
"Yahwe anataka zaidi-haki
# macho yenye kiburi na moyo wa majivuno
"watu wanaotaka wengine kufikiri kuwa ni bora kuliko watu wengine"
# macho yenye kiburi
mtu ambaye anataka watu wengine wafahamu kwamba anafikiri yeye ni bora kuliko wao.
# moy wa majivuno
mtu ambaye hufikiri yeye ni bora kuliko wengine
# taa ya waovu
"mambo ambayo huwasaidia watu waovu kama taa inavyosaidia kuon kwenye giza"