forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
605 B
Markdown
28 lines
605 B
Markdown
# kutenda haki
|
|
|
|
"kufanya kila ambacho Yahwe anafikiri kuwa ni haki"
|
|
|
|
# kutenda ...haki
|
|
|
|
"kuwatendea watu namna Yahwe anavyotaka watu kuwatendea watu wengine"
|
|
|
|
# haki inakubalika zaidi mbele ya Yahwe
|
|
|
|
"Yahwe anataka zaidi-haki
|
|
|
|
# macho yenye kiburi na moyo wa majivuno
|
|
|
|
"watu wanaotaka wengine kufikiri kuwa ni bora kuliko watu wengine"
|
|
|
|
# macho yenye kiburi
|
|
|
|
mtu ambaye anataka watu wengine wafahamu kwamba anafikiri yeye ni bora kuliko wao.
|
|
|
|
# moy wa majivuno
|
|
|
|
mtu ambaye hufikiri yeye ni bora kuliko wengine
|
|
|
|
# taa ya waovu
|
|
|
|
"mambo ambayo huwasaidia watu waovu kama taa inavyosaidia kuon kwenye giza"
|