sw_tn/pro/21/03.md

605 B

kutenda haki

"kufanya kila ambacho Yahwe anafikiri kuwa ni haki"

kutenda ...haki

"kuwatendea watu namna Yahwe anavyotaka watu kuwatendea watu wengine"

haki inakubalika zaidi mbele ya Yahwe

"Yahwe anataka zaidi-haki

macho yenye kiburi na moyo wa majivuno

"watu wanaotaka wengine kufikiri kuwa ni bora kuliko watu wengine"

macho yenye kiburi

mtu ambaye anataka watu wengine wafahamu kwamba anafikiri yeye ni bora kuliko wao.

moy wa majivuno

mtu ambaye hufikiri yeye ni bora kuliko wengine

taa ya waovu

"mambo ambayo huwasaidia watu waovu kama taa inavyosaidia kuon kwenye giza"