sw_tn/pro/19/09.md

258 B

shahidi wa uongo hatakosa kuadhibiwa

"hakika watamwadhibu shahidi wa uongo"

hunong'ona uongo

"hudanyanya daima"

haifai

"siyo sawa"

anasa

hali ya ukwasi na furaha

sembuse kwa mtumwa

"haifai zaidi kwa mtumwa" au "ni vibaya zaidi kwa mtumwa"