forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
315 B
Markdown
16 lines
315 B
Markdown
# shahidi wa uongo hatakosa kuadhibiwa
|
|
|
|
"hakika watamwadhibu shahidi wa uongo"
|
|
|
|
# yeye ambaye hunong'ona uongo hataokoka
|
|
|
|
"watamkamata mtu yule ambaye hunong'ona uongo"
|
|
|
|
# mtu mkarimi
|
|
|
|
mtu ambaye mara nyingi hutoa vitu
|
|
|
|
# kila mtu ni rafiki
|
|
|
|
"huonekana kwamba kila mtu ni rafiki" au "karibia kila mtu ni rafiki"
|