sw_tn/pro/19/05.md

315 B

shahidi wa uongo hatakosa kuadhibiwa

"hakika watamwadhibu shahidi wa uongo"

yeye ambaye hunong'ona uongo hataokoka

"watamkamata mtu yule ambaye hunong'ona uongo"

mtu mkarimi

mtu ambaye mara nyingi hutoa vitu

kila mtu ni rafiki

"huonekana kwamba kila mtu ni rafiki" au "karibia kila mtu ni rafiki"