sw_tn/pro/17/19.md

265 B

husababisha mifupa kuvunjika

"husababisha mtu kusafiri na kujiumiza mwenyewe"

mwenye moyo mdanganyifu

"ambaye ni mdanganyifu" au "asiye mwaminifu"

mwenye ulimi wa ukaidi

" hunena kwa ukaidi" au "hunena uovu"

huanguka katika msiba

"atapatwa na msiba"