sw_tn/pro/13/23.md

285 B

shamba lisilolimwa

"shamba ambalo halijaandaliwa kwa kuzalisha chakula" au " shamba ambalo ni tupu tayari kwa kupanda"

lakini huondolwa kwa udhalimu

"lakini udhalimu hukichukua chakula" au " watu wadhalimu hukichukua chakula"

huzingatia kumwelekeza

" nakikisha namwelekeza"