sw_tn/pro/13/05.md

360 B

chukizo

sababisha hisia kali za kuchukia

haki huwalinda wale

"Njia ya kuishi iliyothibitishwa na Yahwe hulinda"

ambao hawana kasoro katika njia yao

"amabo hawana makosa katika njia yao ya kuishi" au "ambao huishi maisha ya uadilifu"

ubaya huwageuzia mabali wale ambao hutenda dhambi

"ubaya huwageza wenye dhambi kutoka katika njia ya mafanikio"