sw_tn/pro/12/17.md

12 lines
257 B
Markdown

# Maneno ya mtu ambaye hunena kwa haraka ni kama makali ya upanga
"anachonena mtu bila kufikiri kinaweza kuumiza sana kama kama vile amechoma kwa upanga"
# ulimi wa mwenye busara
"amabyo watu wenye busara husema"
# huleta uponyaji
"faraja na uponyaji"