sw_tn/pro/12/17.md

257 B

Maneno ya mtu ambaye hunena kwa haraka ni kama makali ya upanga

"anachonena mtu bila kufikiri kinaweza kuumiza sana kama kama vile amechoma kwa upanga"

ulimi wa mwenye busara

"amabyo watu wenye busara husema"

huleta uponyaji

"faraja na uponyaji"