forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
289 B
Markdown
16 lines
289 B
Markdown
# yule ambaye hutafuta kwa bidii
|
|
|
|
yule ambaye hutafuta kwa uangalifu na bidii
|
|
|
|
# ataanguka
|
|
|
|
"ataangamizwa"
|
|
|
|
# kama jani, watu wenye haki watasitawi
|
|
|
|
"watu wenye haki watafanikiwa kwa namna ile ile ambayo jani lenye afya hustawi"
|
|
|
|
# watu wenye haki watasitawi
|
|
|
|
watu wenye haki watafanikiwa
|