sw_tn/pro/11/27.md

289 B

yule ambaye hutafuta kwa bidii

yule ambaye hutafuta kwa uangalifu na bidii

ataanguka

"ataangamizwa"

kama jani, watu wenye haki watasitawi

"watu wenye haki watafanikiwa kwa namna ile ile ambayo jani lenye afya hustawi"

watu wenye haki watasitawi

watu wenye haki watafanikiwa