yule ambaye hutafuta kwa bidii
yule ambaye hutafuta kwa uangalifu na bidii
ataanguka
"ataangamizwa"
kama jani, watu wenye haki watasitawi
"watu wenye haki watafanikiwa kwa namna ile ile ambayo jani lenye afya hustawi"
watu wenye haki watasitawi
watu wenye haki watafanikiwa