sw_tn/pro/11/07.md

235 B

tumaini lilokuwa kwenye nguvu zake

"ujasiri aliokuwa nao kwa nguvu zake mwenyewe"

hupotea

"hutokomea"

Mtu mwenye haki hulindwa katika taabu

"Mungu humlida katika taabu mtu ambaye hutenda haki"

taabu huja

"taabu humpata"