sw_tn/pro/11/01.md

317 B

Maelezo ya Jumla

Mistari mingi katika sura ya 11 ni ulingafu sambamba.

Yahwe huchukia vipimo ambavyo si sahihi

"Mungu huchukia vipimo vya uongo" au " Mungu huchukia watu wanapodanganya"

lakini hufurahia katika kipimo sahihi

"lakini hufurahia njia za uadilifu" au lakini hufurahi watu wanapokuwa waadilifu"