forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
449 B
Markdown
20 lines
449 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
Mistari hii inaanza kuelezea upumbavu ambao umepewa sifa ya binadamu kama mwanamke
|
|
|
|
# mwanamke mpumbavu
|
|
|
|
" upumbavu wa mwanamke"
|
|
|
|
# hajafundishwa na hafahau kitu
|
|
|
|
Maana yake mwanamke mpumbavu asiyefaa " Hajui kitu chochote kabisa"
|
|
|
|
# hajafundishwa
|
|
|
|
"Hajajifunza kutokana na auzoefu" au " Ni kijana na mjinga"
|
|
|
|
# hutembea kwa unyofu katika njia yao
|
|
|
|
Hii ni nahau "Hufikira mambo yao mwenyewe tu" au " hujali shughuli zao wenyewe"
|