sw_tn/pro/08/08.md

257 B

maneno ya kinywa changu

"mambo ninayofundisha"

lililogeuzwa

"uongo"

yamenyooka

"kweli na safi "

maneno yangu yapo wima kwa wenye kujipatia maarifa

"wale wanaojua maana ya haki na uovu hufahamu kuwa ninachafundisha ni sahihi"

wima

"kweli"