sw_tn/pro/05/22.md

346 B

mtu mwovu atatekwa kwa makosa yake mwenyewe

"mtu mwovu hataweza kuepuka madhara ya makosa yake"

nyuzi za dhambi yake zitamshika kwa nguvu

"kwa sababu ya dhambi zake, atakuwa kama mnyama aliyenaswa katika mtego"

upumabavu wake mkuu utampoteza

"upumbavu wake mkuu utamwongoza upotevuni"

upumabavu wake

"kwa sababu ya upumabavu wake"