forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
690 B
Markdown
32 lines
690 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
Baba anamalizia kuwafundisha watoto wake yale ambayo alifunzwa na baba yake.
|
|
|
|
# tumia mapata yako yote kujipatia ufahamu
|
|
|
|
"thamini ufahamu zaidi kuliko yote unayoyamiliki"
|
|
|
|
# mtunze hekima na yeye atakutukuza
|
|
|
|
"kama utamlea hekima, atakupa heshima kubwa"
|
|
|
|
# mtunze
|
|
|
|
kujihisi au kuonyesha upendo mkuu kwamtu au kitu
|
|
|
|
# atakuheshimu endapo utamkumbatia
|
|
|
|
"kama utapenda sana hekima, hekima itasababisha watu wakuheshimu"
|
|
|
|
# ataweka kilemba cha heshima juu ya kichwa chako
|
|
|
|
"Hekima itakuwa kama kilemba juu ya kichwa chako ambacho huonesha heshima kuu"
|
|
|
|
# Kilemba
|
|
|
|
duara iliyofumwa kwa majani au maua
|
|
|
|
# atakupatia taji zuri
|
|
|
|
" hekima ni kama taji zuri juu ya kichwa chako"
|