sw_tn/pro/04/05.md

566 B

Maelezo ya Jumla

Baba anaendelea kuwafundisha watoto wake mambo ambayo yeye alifundishwa na baba yake

Jipatie hekima

"fanya bidii kupata hekima kwa ajili yako mwenyewe" au "pata hekima"

usiyasahau

"yakumbuke"

usiyakatae

"kubali"

maneno ya kinwa changu

"yale ninayonena"

usimwache hekima na naye atakulinda; mpende na yeye atakuweka salama

Mwandishi ananena juu ya hekima kama mwanamke ambaye humlinda mtu ambaye ni mwaminifu.

usimwache hekima

" ishikilie kwa nguvu kabisa hekima"au " uwe mwaminifu kwa hekima"

mpende

" mpende hekima"