sw_tn/pro/03/33.md

264 B

Laan ya Yahwe ipo juu ya mtu mwovu

"Yahwe ameilaani familia ya mtu mwovu"

Huibariki maskani ya watu wema

"huzibariki familia za watu wema"

huwapa fadhila watu wanyenyekevu

"huonyesha fadhila kwa watu wanyenyekevu" au "ni mkarimu kwa watu wanyenyekevu"